Resultado de búsqueda
Hace 5 días · Baada ya kuondoka Bilionea Yusuf Manji, Yanga ilikutana na kimbunga cha ukata mkubwa wa fedha kwa takribani misimu mitatu ila hawakukata tamaa. Walichangishana wanachama na mashabiki wao kuhakikisha mambo yanaenda. Baada ya muda wakamshusha mkombozi mpya Bilionea mwingine Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ na sasa maisha yao yamekuwa mazuri na ...
- Nyota Yanga dakika 30 tu, akijiandaa kubeba taji la Afrika
Cha kushtua ni kwamba, Kisinda ametumia dakika 30 za msimu...
- Nyota Yanga dakika 30 tu, akijiandaa kubeba taji la Afrika
Hace 22 horas · #football #simbasc #cloudsmedia #sportstrends #trendingvideo #trendingshorts #sportsnews #wasafimedia #fifa #africasportsgames #kenyasports #kenyatrending
Hace 2 días · KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Adel Amrouche, anatarajia kwenda kukata rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo ya FIFA maarufu CAS baada ya kufungiwa mechi nane na Shirikisho la Soka Afrika kutokana na matamshi yake yaliyozua utata katika mashindano ya Kombe la Afrika AFCON.
Hace 1 día · HIVI karibuni kuna jambo kubwa kwenye soka linakwenda kutokea. Achana na ubingwa wa Yanga ambayo imetangaza leo, lakini kuna lingine ambalo linalomhusisha staa wa Simba, Mzambia Clatous Chama kusaini mkataba mpya katika moja ya timu kubwa Afrika, huku Stephane Aziz Ki akimvuta Jangwani Mwamba huyo wa Lusaka.
Hace 4 días · Ijumaa Mei 10, 2024. The Guardian |; Nipashe |; Nipashe Jumapili; ePaper
Hace 22 horas · Jukwaa la 5 la Kimataifa kuhusu uwekezaji kwa wajasiriamali likianza huko Manama, Bahrain washirki wameweka bayana ni kwa jinsi gani wanatekeleza wito wa Umoja wa Mataifa wa kuchochea ugunduzi na ujasiriamali kama njia mojawapo ya kufanikisha ukuaji uchumi na hatimaye kusongesha malengo ya maendeleo endelevu, SDGs.